Diamond Platnumz Haunisumbui lyric

Haunisumbui

Diamond Platnumz Diamond Platnumz
02 October 2020
604

Diamond Platnumz Haunisumbui Lyrics

Ayo lizer


Si ko ko ko si kanda mbili yani vyote

Haviku pendezi kuwa na ngoko

Usio nawiri tope niutelezi

Utaishia kututabiri

Tubomoke ina songa miezi

Mola amesha taka dhiri usijichoshe

Halivunjiki penzi


Ona umekosa nuru umekosa baati huna

Unaitwa kunguru ukifika wananuna

Ndo ndo ndo mwana chururu

Asiye mbuzi wataka chuna

Mengine nisi kufuru mmh


Hazikukai maskala wala make up

Zina kushuka uso ume ku parara

[?] zimetenguka uso sauti yastara

Kwa kudeka una weuka

Jibwa kwako la mbagala

Lina bweka na kubwetuka wala


Wala hunisumbui wala

Wala hunisumbui wala

Wala hunisumbui wala

Waaaala hunisumbui wala


Naizo post mara kubebana mara

Linakusuta mbele za watu

Unapo nitukana siogopi mashushu

Me wala michambo


Kutwa kwa ma page fake

Kama lokole lina husu

Mkwe akutake eti mwenzangu mbona kuntu

Vi message kujitumisha kwa ndugu zangu marufuku

Nyota ime kufupika usi force umaarufu


Upepo wa kisuli suli

Unakuchukuwa yani sali

Tanga ni pole pole

Wanakununua kwa mizani

Kwangu pame shughuri




Comments

Other song(s) of Diamond Platnumz

Diamond Platnumz
Diamond Platnumz
Diamond Platnumz
Diamond Platnumz
Diamond Platnumz
Diamond Platnumz

You may also like these lyrics

00:00 00:00