Harmonize Mama lyric

Mama

Harmonize Harmonize
13 March 2020
1.2K

Harmonize Mama Lyrics

Yeah, this one go to all

Beautiful mothers in the world

I love you mama

I want talk to yah


Hello mama, leo nimepata kisimu cha kuazima

Nikaona hata angalau, niijue hali yako

Vipi upo salama? Yana dhumuni nijue kama uko mzima

Hadi nimesahau shikamoo, heshima yako

Ingawa bado mambo magumu

Ila sijachoka napambana

Ulinisihi nikakudhulumu

Ni makosa kwa Rabana


Wasikudanganye na picha za mitandao

Ukahisi na pocho

Uniombe kila kukicha mimi mwanao

Ipo siku nitatoboa

Nilisikiaga mjomba Isa

Yule fundi mbao

Tayari ameshaoa

Ila yote tisa kumi mwanao

Moyoni nina doa la kuwa mbali nawe

Eeh mama I love you,

I say I love you mama, Mama I love you

Nahangaika ili kesho nikutunze

Mama I love you, I love you, I love you

Mama I love you (Eeh, I love you mama)


Miezi tisa tumboni

Kwa mateke mi mtundu ulinibeba

Ukajitesha mgongoni

Upweke na uchungu ule wa leba

Nikisema nikusifie

Sifa zako siwezi maliza

Ninachotamani usikie

Kwa ajili yako nabangaiza

Mama sio mchana sio usiku

Kukicha nakwenda race

Ila naamini ipo siku

Mola atanifanyia wepesi

Chunga!


Wasikudanganye na picha za mitandao

Ukahisi na pocho

Uniombe kila kukicha mimi mwanao

Ipo siku nitatoboa

Nilisikiaga mjomba Isa

Yule fundi mbao

Tayari ameshaoa

Ila yote tisa kumi mwanao

Moyoni nina doa la kuwa mbali nawe

Eeh mama I love you,

I say I love you mama, Mama I love you

Nahangaika ili kesho nikutunze

Mama I love you, I love you, I love you

Mama I love you (Eeh, I love you mama)





Comments

You may also like these lyrics

00:00 00:00