Harmonize Wapo lyric

Wapo

Harmonize Harmonize
31 December 2020
961

Harmonize Wapo Lyrics

B boy

Yeaaah, mmmh

mmmhm hhhmm

Ivi kwanini nijitutumue

Na dunia sio makazi

Viji neno neno vinisumbue

Hadi nishindwe kufanya kazi

Mama alisema mkuki kwa nguruwe

Kuishi na watu kazi

Acha atukane ata aniuwe nisha samehe

Mzazi ni mzazi


Mwenzenu naficha naficha

Mengi ninayo yaona

Kifupi nafunika kombe

Nikiamini kesho nayo siku

Mapicha picha mapicha

Sidhani kama nitapona

Wanangu wa mtaani mniombe

Hii vita ni mchana na usiku


Ooooh kuna watu uuuh

Na viatu

(wanatamani milele wawe wao ukijituma watasema unashindana nao)

Oooh ni kama watu kumbe ndani

Wana roho za chatu

(Hawatoshekwi na vikubwa vyao wanatamani hata kidogo chako kiwe chao)


Mola nipe ujasiri

Kwenye kufanya maamuzi

Zidi nikomaza akili

Isinipoteze mi lusi

Uni amshe alfajiri

Kama jana na juzi

Kupata kukoza ni siri

Nawe ndo mungu baba mwamuzi


Dear Lord (wapo)

Iyeh iye iye (wapo)

Ni ngumu kuwaona (wapo)

(wapo wasotaka ufanikiwe)

Eeeh (Wapo)

Binadamu hawana jema (Wapo)

Kila unachofanya watasema (Wapo)

Waaaa (wapo wasotaka ufanikiwe)

Dear Lord


Hee, mmmh mmmmh

Watakwita mwanga kibonge

Tena kwa dharau waku cheke

Wanacho taka we uongee

Waseme shukranu ya punda mateke

Kama vipi demu wake tum gongee

Ndo anae mpiga chura teke

usipo onewa donge

Basi ndo ujue hauna mateke


Skia konde

We pambana mjini shule

Ukipata kidogo leta na wanao tule

Achana nao wanao semaga umezoea vya bure

Mana siku zote nyani halioni kundule

Kama baba na mama ndo nguzo ya dunia

Wapende wote sio wa kike anacheka

Wa kiume analia lia bila msaada wowote



Ooooh kuna watu uuuh

Na viatu

(wanatamani milele wawe wao ukijituma watasema unashindana nao)

Oooh ni kama watu kumbe ndani

Wana roho za chatu

(Hawatoshekwi na vikubwa vyao wanatamani hata kidogo chako kiwe chao)


Mola nipe ujasiri

Kwenye kufanya maamuzi

Zidi nikomaza akili

Isinipoteze mi lusi

Uni amshe alfajiri

Kama jana na juzi

Kupata kukoza ni siri

Nawe ndo mungu baba mwamuzi


Dear Lord (wapo)

Iyeh iye iye (wapo)

Ni ngumu kuwaona (wapo)

(wapo wasotaka ufanikiwe)

Eeeh (Wapo)

Binadamu hawana jema (Wapo)

Kila unachofanya watasema (Wapo)

Waaaa (wapo wasotaka ufanikiwe)

Dear Lord


Special message to the youth it's youre time now to follow your dream

No matter what people to say

Stay humble, stay positive, follow your dream

Live in GOD is mine, is your mine

I love




Comments

You may also like these lyrics

00:00 00:00