Harmonize You lyric

You

Harmonize Harmonize
21 April 2022
132

Harmonize You Lyrics

 [Intro]
 BBoy on the beat
 Hmmm, yeah
 
 [Verse 1]
 Mikono juu na surrender
 Acha dunia ijue muuni amependa
 Wangapi waikuja wakaenda
 Mbona ni wewee
 Mwenzako nahesabu calendar
 Siku masaa yanakwenda
 Hebu fanya urudi nakupenda
 Basi nielewee eeeh
 Kitaniumbua kifo nikiyaficha maradhi
 Sikujua before before kumpata unaempenda ndio kazi
 Nimejaribu haka kawimbo kukuimbia
 Pengine labda utakasikia
 Ishara tosha kuwa najutia
 Fanya unisamehe hi mambo ya ujana
 Moyo unakufa ganzi nikifikiria
 Mazito tuliyo yapitita
 Yaliyou kufanya utaki ata nisikia
 Bado nahisi ni kama jana
 
 [Chorus]
 Hakuna aliye kamilika
 Hata unae mdhani malaika
 Bado anaweza kuwa shetani
 Na ukasema bora mimi
 Ndoto yangu bado haijafutika
 naamini siku itafika
 Tumwite sheikh na ubani  
 Au tufunge ndoa kanisani
 
 Ohh beibei
 I miss you
 I miss you
 I miss you
 I miss you
 
 [Verse 2]
 Kweli mapenwi hayana ujanja
 Hayajali jina mkwanja
 Yani nimepita kila kiwanja
 Ila nimenasa kwa mtoto wa massanja
 Wewe ni mtu wa mungu
 Tena mlokole yanini app ya mange
 Wapiga majungu wakina lokole
 Wanao pakaza me nakula bange
 Naaguka makosa tena nipo radhi kutoa posa
 Basi fanya urudi malikia
 Tuje kuanza tulipo ishia
 Waambie mashoga zako si kwa ubaya
 Ila me sipendagi kuongea
 Unamsemaje mwenzako bangi mbaya
 Kama hujawahi hata mgongea
 
 [Chorus]
 Hakuna aliye kamilika
 Hata unae mdhani malaika
 Bado anaweza kuwa shetani
 Na ukasema bora mimi
 Ndoto yangu bado haijafutika
 naamini siku itafika
 Tumwite sheikh na ubani  
 Au tufunge ndoa kanisani
 
 Ohh beibei
 I miss you
 I miss you
 I miss you
 I miss you
 
 [Outro]
 Of course Bboy beat
 Konde boy call me number one
 Bakhresa
 It's what it is baby
 I want to come back
 It's what it is baby
 I want to come back
 Come back my baby




Comments

Other song(s) of Harmonize

Harmonize
Harmonize
Harmonize

You may also like these lyrics

00:00 00:00