Ibraah One Night Stand lyric

One Night Stand

Ibraah Ibraah
09 May 2020
628

Ibraah One Night Stand Lyrics

Hmm o o

(It's Bonga)

Lalalala

Aiyete iyeee

Konde Boy


Mi baba yangu sio Magufuli

Ama Kenyatta wa Kenya

Nikudanganye Mugabe

Ni uongo sio sawa

Hata nyota yangu mi ni ya sufuri

Sio wa kupata tena

Kula yangu tuma zabe

Sina mchongo kama chawa


What I believe, what I believe, no money no love

Yupo ulompaga moyo, akaugawa vipande

Nimeumbwa na wivu mi na wivu moyo wangu sio mbovu

Hakuwaga mchoyo, kutwa miguru upande


Kwanza mapenzi yamezaliwa Bombay

Masonge kwenye majani (Ayie eh)

Utaweza mwana wa bonde

Amemshinda sharukani (Ayie eh)

Agiza nyama na pombe

Ah tulewe twende chumbani (Ayie eh)

Nikupe mhogo wa jang'ombe

Kisigino kiwe begani

Baby all I need mi siwezagi kuzunguka

One night, heee, one night, one night stand

Yaani nipe nikupe, kabla hakujapambazuka

One night, heee hmm, one night, one night stand


(Konde Boy)

Siku hizi kupenda penda, kumepitwa na muda

One night, tururur, one night, one night stand

Yaani akikupa kula akisusa mwingine atakuja

One night, tururur, one night, one night stand


Usijidanganye umemkamata, mtoto wa mjini

Magoli mengi Samata, hata uzame chumvini

Ila kuna wazee wa Migodi, hawagongagi hodi

Ujifanye mjanja unachunga, ila ndo wanalipa kodi

Utadanganya anaenda jogging, kumbe yuko lodging

Mwenzako anajaza mimba uko gym unajaza body


What I believe, what I believe, no money no love

Yupo ulompaga moyo, akaugawa vipande

Nimeumbwa na wivu mi na wivu moyo wangu sio mbovu

Hakuwaga mchoyo, kutwa miguru upande

Kwanza mapenzi yamezaliwa Bombay

Masonge kwenye majani (Ayie eh)

Utaweza mwana wa bonde amemshinda sharukani (Ayie eh)

Sio unakunywa tu mapombe, unajua anayelipa nani? (Ayee eh)

Twende nkakupe guu la ng'ombe, ukaugulie nyumbani chii!


Baby all I need mi siwezagi kuzunguka

One night, tururur, one night, one night stand

Yaani nipe nikupe kabla hakujapambazuka

One night, tururur, one night, one night stand

Siku hizi kupenda penda kumepitwa na muda

One night, tururur, one night, one night stand

Yaani akikupa kula akisusa mwingine atakuja

One night, tururur, one night, one night stand


Asa beiby nipe (Nipe nikupe)

Acha za kung'ata makucha (Nipe nikupe)

Mara unapandisha unashusha (Nipe nikupe)

Mida inakwenda (Nipe nikupe, tumalizane leo leo)


Eh mbuzi kafa kwa bucha (Nipe nikupe)

Mbona saa unayeyusha (Nipe nikupe)

Ukichelewa nitasusa (Nipe nikupe)

Hebu sogea kwa chamber (Nipe nikupe, tumalizane leo leo)




Comments

Other song(s) of Ibraah

You may also like these lyrics

00:00 00:00