Jay Melody Nitasema lyric

Nitasema

Jay Melody Jay Melody
10 February 2023
58
0
0

Jay Melody Nitasema Lyrics

Ninayopitia ni kama umeniroga

Haya mapenzi yamenipa gonjwa

Japo sijawahi kukwambia jinsi ninavyokuota

Nakuzimia moyo umeuokota

Hii dunia nimempenda mmoja hizi

Hisia nitakwambia how I feel

Para rara raaah how I feel

Para rara raaah nitasema mi

Para rara raaah how I feel

Para rara raaah nitasema mi

Oooh na vitu vyako vinachanganya

Oooh unigusapo kwisha mwenzio

Oooh your magnet ooh unanivuta hapo

Ooh utanitoa roho jamani

Unanikoshs unaniwasha

Unalia Paah moyo wangu

Unanikosha unaniwasha

Unalia Paah moyo wangu

Japo sijawahi kukwambia jinsi ninavyokuota

Nakuzimia moyo umeuokota

Hii dunia nimempenda mmoja hizi

Hisia nitakwambia how I feel

Para rara raaah how I feel

Para rara raaah nitasema mi

Para rara raaah how I feel

Para rara raaah nitasema mi

Unanikoshs unaniwasha

Unalia Paah moyo wangu

Unanikosha unaniwasha

Unalia Paah moyo wangu




Comments

Other song(s) of Jay Melody

You may also like these lyrics

00:00 00:00