Mbosso Mtaalam lyric

Mtaalam

Mbosso Mbosso
09 March 2021
142

Mbosso Mtaalam Lyrics

Unakila sababu ya kusimama kimasomaso

Mungu kweli wa ajabu kanionesha kwa yangu macho

Chukuwa zangu dhawabu mi nibaki na dhambi

Unishikishe adabu mida ya kulala nitoke jasho

Mi sijui kupigna mwili wangu wa mapensi dear

Tusipende kupigana mi mwepesi kulialia

Si kujibanana raha ya pensi kujiachia

Wako maututi mama, nime kufa nimejifia ee


Nalambishwa asali, kwenye mzinga wa nyuki

Tamu ni hatar

Nalambishwa asali, nachezeshwa muziki

Niko chalichali


Nimempata, nimempata mtaalamau

Nimempata, nimempata mtaalamau

Nimempata, nimempata mtaalamau

Nimempata, nimempata mtaalamau

Nimempata


Mi mTanzania wa halali, ila chembechembe za India

Mungu kaninyima ufahar, ila kwa huba najisifia

Sitakuhonga magari, ila mahaba utasanzia

Penzi kachumbari kwa ugali, na pilipili ya kushagia


(aah eeh)

Nikuite nani, majina yote nishamaliza

(aah eeh)

Wangu wa hubani, umeweza kunituliza

(aah eeh)

Mambo ya chumbani, yani nalala huku napulizwa

(aah eeh)

Penzi ziito tanii, napewa raha kupitiliza eeeeh


Nalambishwa asali, kwenye mzinga wa nyuki

Tamu ni hatar

Nalambishwa asali, nachezeshwa muziki

Niko chalichali


Nimempata (Nimempata, nimempata mtaalamau)

Nimempata (Nimempata, nimempata mtaalamau)

Mtaalamu wa penzi (Nimempata, nimempata mtaalamau)

Fundi wa mafundi (Nimempata, nimempata mtaalamau)




Comments

Other song(s) of Mbosso

You may also like these lyrics

00:00 00:00