Paul Maker Serikali Kuu lyric

Serikali Kuu

Paul Maker Paul Maker
05 August 2020
27

Paul Maker Serikali Kuu Lyrics

Ahahahahaa, jeshi

(Paul Maker on the Beat)


Just to show them we can do boy

Ukinipa beat nachana utasema boss

Riki mi sitabiriki

Fundi wa muziki wananiita kisiki


Eey dem wako akisema simpendi

Konde Boy huyu

Ujue ka ni game nakaliwa buyu

Endelea kungoja mchicha uje kuwa mbuyu

Usijifanye huniskii nigga

I’m talking to you


Hatuna TV na hatuna redio

Yes of course we run the city yoh

Hit after hit tega sikio

Kichwani haziishi material


I’m a genius musician, leo nakalisha marapper

Wenye chuki na mimi watasema najitapa

So many sacrifice jo hadi kufika hapa

Nikifa mnizike kwa heshima

Kama Benjamin Mkapa, Nyerere


Easy flow dada zao wanachuma tembele

Singezaliwa Mtwaara na singezaliwa Mbele

Kama ningecheza mpira ni level za kina Pele

Kwenye mziki nimeletwa niwazime makelele


Mi huwa nafanya visivyofanyika

Huwaga nachana visivyochanika

Bora muombe kuungana mtanusurika

Mkifosi kushindana


Hii ndo serikali kuu ya mizuka

Kuu ya mizuka, kuu ya mizuka

Watasema tuko vindooo, vindooo

Vindooo, vindooo

Serikali kuu ya mizuka

Kuu ya mizuka, kuu ya mizuka

Watasema tuko vindooo, vindooo

Vindooo, vindooo




Comments

Other song(s) of Paul Maker

You may also like these lyrics

00:00 00:00