Rayvanny I Love You lyric

I Love You

Rayvanny Rayvanny
13 November 2019
5.2K

Rayvanny I Love You Lyrics

Ilikuwa safari ndefu yenye mateso

Machozi mizigo vikwazo

Ila yote umenitua

Naomba penzi letu lisife kesho

Ukanipa pressure mawazo

Chonde mama utaniua

Na vile hujui kununa fundi wa kudeka

Hata sijakutekenya unacheka

Ooooh tambua ushaniteka

Hata bila chakula nanenepa, my love


Salama nikiwa na wewe

Hata kama nina shida nasahau

Sura kama malaika

Na wala hauringi kwa dharau

Lawama acha nipewe

Nitoke duniani angalau

Kuliko ukakanyanyasika

Ila mpenzi usisahau

Mi ooh oh, I, mi amor, I

My Love, I, te amor, I

I love you, I love you

Baby I love you, I love you

I love you(Mi nakupenda sana)

I love you(Usiniache mama)

Baby I love you(Me oooh)

I love you


Sura ya mama, umbo lawama unayabia maguu

Unanichanganya, ukiinama naangalia tattoo

Nipakulie chakula mama sikomi

Asubuhi mchana mpaka jioni

Michezo unaijua mama msomi

Pini kitovu kifua na sikioni


Salama nikiwa na wewe

Hata kama nina shida nasahau

Sura kama malaika

Na wala hauringi kwa dharau

Lawama acha nipewe

Nitoke duniani angalau

Kuliko ukanyanyasika

Ila mpenzi asahau

Mi ooh oh, I, mi amor, I

My Love, I, te amor, I

I love you

Baby I love you, I love you

I love you(Mi nakupenda sana)

I love you(Usiniache mama)

I love you




Comments

00:00 00:00