Rayvanny Lala lyric

Lala

Rayvanny Rayvanny
:
Jux
01 February 2021
455

Rayvanny Lala Lyrics

Lala la, lala lala

Lala la, lala lala

(It's S2kizzy Beiby)


Nawaza usingetokea ningeongea nini leo? (Aah)

Bila ya penzi lako ningeenjoy nini leo? (Aah)

Imekuwa bora alivyopotea ukatokea wewe leo

Tena bila huruma yako ningetamba wapi leo? (Aah)


Kwenye baridi

Nikukumbate upate joto

Twende kwa bibi

Atupe baraka tuzae watoto


Ngozi laini mtoto soap soap

Tumbo la kuvalia crop top

Vanessa wa nini? we don't talk talk

Sitaki shobo nisha block block (Iyee)


Lala la, lala lala

Lala kifuani mmh

Lala la, lala lala

Kichuna lala usinzie


Lala la, lala lala

Nibembeleze nikuimbie

Lala la, lala lala

La la la..la la la


Nikimuita sukari ananiita asali

Lamba lamba pipi

Kuku mwenye kidari, shepu ngangari

La kuvunja kiti


Fundi fundi kamba

Za upendo wake kunibeba kwenda juu

Wakimponda saa

Hawajui ndo nazidi kumpenda tu


Usiku kwenye kimvua mvua, tukivua vua

Sema hata ajilaze kwenye kifua

Unanijua jua, nakujua jua

Masaji ya mafuta nikikuchua


Ngozi laini mtoto soap soap

Tumbo la kuvalia crop top

Fahima wa nini? we don't talk talk

Sitaki shobo nisha block block


Lala la, lala lala

Lala kifuani mmh

Lala la, lala lala

Kichuna lala usinzie


Lala la, lala lala

Nibembeleze nikuimbie

Lala la, lala lala

La la la..la la la


Lala la, lala lala

Lala kifuani mmh

Lala la, lala lala

Kichuna lala usinzie


Lala la, lala lala

Nibembeleze nikuimbie

Lala la, lala lala

La la la..la la la


(Wasafi)



                      
                     



Comments

You may also like these lyrics