Rayvanny Waongo lyric

Waongo

Rayvanny Rayvanny
:
01 February 2021
38

Rayvanny Waongo Lyrics

Eti nilemwita my queen eminado

Leo kashika njia

Aloyafanya mi simanzi

Nishachoka kulia


Nipe Panadol changanya Chloroquine

Madawa yote jazia

Sumu ya panya wapi kitanzi

Nishachoka dunia


Aliniahidi

Nitakuwa wake kufa na kuzikana

Kigoma kwa bibi

Ngala mukunze na tukapelekana


Tena akanifariji

Eti anafanya mipango tuanze kuona


Kumbe muongo! Alinidanganya kanifanya cartoon

Kumbe muongo! Hadi safari za akasema salimi

Kumbe muongo! Hawakutosheka chumbani wakafanya bafuni

Kumbe muongo! Aliyoyafanya leo kwangu huzuni najuta mie


Waongo wao! Yaani waongo wao 

Waongo wao, waongo wao

Tena Waongo wao, waongo wao


Waongo wao! Yaani waongo wao 

Waongo wao, waongo wao

Tena Waongo wao, waongo wao


Wengi mnapenda sura

Shepu mibinuko

Wakati hamna kitu kwa mifuko

Vimba kama puto kuringia uso

Kijana jua kuna babu yupo


Anahudumia, anagharamia

Kodi ya nyumba anamlipia

Na furniture pia kamnunulia

Ipo siku utaikalia


Macho kwenye pesa

Macho kwenye noti

Macho sio kwa handsome

Macho ni kwa bosi


Chat za Whatsapp hizo ni namba za mashosti

Ukitaka ufe cheki namba za kitosi

Shevu fundi wa heleni kumbe fundi wa mkoleni

Fundi wa mafundi yaani fundi miuno feni

Ana fundi mikocheni ana fundi magomeni

Ila fundi wa manzese humfikisha kileleni


Wakilia wana machozi bandia

Macho funika pazia

Msishangae mikia

Mtaumia vijana


Waongo wao! Yaani waongo wao 

Waongo wao, waongo wao

Tena Waongo wao, waongo wao


Waongo wao! Yaani waongo wao 

Waongo wao, waongo wao

Tena Waongo wao, waongo wao


Waongo wao! Yaani waongo wao 

Waongo wao, waongo wao

Tena Waongo wao, waongo wao


Waongo wao! Yaani waongo wao 

Waongo wao, waongo wao

Tena Waongo wao, waongo wao


(Kweli kikulacho kiko nguoni mwako)






Comments

You may also like these lyrics

00:00 00:00