Rosa Ree Usiyempenda Kaja lyric

Usiyempenda Kaja

Rosa Ree Rosa Ree
25 August 2020
77

Rosa Ree Usiyempenda Kaja Lyrics

Yeah! 

(Jacko baby)


It's Rosa Ree

I'm the godess you can never be god

I gave you time to hit half of my boss

You came me for find Cardi do my Minaj

And so I still rule over fulltime


Wameshika adabu waliotaka kunishika

Wamekufa wote waliotaka kunizika

Alafu ka unaamini utaweza kunipita

Basi anza kuamini aliyekuzaa bikra


The best rapper but I dont say shit

Straight to the point like am regency

And non of them of them can do it like me


Mugamba wanaruka na kukanyagana

Unataka kwenda peponi unaogopa kiama

Mnajiita wakali mnadanganyana 

Kwenye sherehe yao baa, kaingia Osama


Huh usiyempenda kaja, kaja

Usiyempenda kaja, kaja

Usiyempenda kaja, kaja

Usiyempenda kaja, kaja


Nikisema nina nguvu za kiume

Kuna watu wanabisha 

Ila kiukweli kuna muda na dick (Kiruu)

Na kama mnabisha bisha 

Wanaume mnapakuliwa hivi nani anawapika?


Yoh na kwenye usawa huu utamwogopa nani?

Ukiambiwa naenda kula bata zangu Irari

Na huwa siogopi kutupa jiwe gizani

Ndo maana tawi la benki halina majani


All I do is use a p&ssy ass bitch

And I got a fat p&ssy up in my pants bitch

Go get a pass and get me rid at that itch

When I be in homelands go and get to the beach


Mugamba wanaruka na kukanyagana

Unataka kwenda peponi unaogopa kiama

Mnajiita wakali mnadanganyana 

Kwenye sherehe yao baa, kaingia Osama


Huh usiyempenda kaja, kaja

Usiyempenda kaja, kaja

Usiyempenda kaja, kaja

Usiyempenda kaja, kaja


Wape taarifa usiyempenda kaja (Kaja kaja)

Mkiongea utumbo mi naongea paja (Kaja kaja)

Leo nawachinja kinagaubaga (Kaja kaja)

Uliyempa umbea huko nyuma kakutaja (Kaja kaja)


Kaja (Kaja kaja)

Kaja (Kaja kaja)



                      
                     



Comments

You may also like these lyrics

00:00 00:00