Rosa Ree Wana Wanywe Pombe lyric

Wana Wanywe Pombe

Rosa Ree Rosa Ree
15 September 2021
118

Rosa Ree Wana Wanywe Pombe Lyrics

Wah, wana wanywe pombe
Wah, wana wanywe pombe
Wah, wana wanywe pombe
Wah, wana wanywe pombe
Leo kata chupa
Leo kata chupa
Leo kata chupa
Leo kata chupa

Sisi tukiwa kwenye kiwanja hatuangali, bajeti
Ukiagiza moja moja naagiza baketi
Waiter lete ngorongoro ama serengeti
Kama maisha ni safari niletee creti
Ukishalewa tembea ni kama tege
Alafu jifanye ni kama unacheza reggae
Ukiona dame mdanganye ni kama una ndege
Alafu akikupa nenda ukamalize yenye
Ukipewa beer za bure husiendee na pupa
Maana utakuja kulewa ushikishwe ukuta
Na kama una stress nyingi we agiza chupa
Alafu alive kuvunja moyo kamvunje mifupa

Wah, wana wanywe pombe
Wah, wana wanywe pombe
Wah, wana wanywe pombe
Wah, wana wanywe pombe
Leo kata chupa
Leo kata chupa
Leo kata chupa
Leo kata chupa

Wiki nzima kila hasara nashushia bapa
Huku kwetu kuna panya kamua paka
Kiufupi pipipili linawasha data
Mzee leteni maji kuna mtu kawaka
na tushamaliza bifu la pilau na gambe (gambe gambe)
Tukitaka cha arusha ninatuma afande (fande fande)
Humu ndani tunakesha kama walinzi 
Alafu tumependeza t-shirt na jersey
Tuna mambo meusi ka mazisi
Unaeza kuta kichaa anacheka chizi

Wah, wana wanywe pombe
Wah, wana wanywe pombe
Wah, wana wanywe pombe
Wah, wana wanywe pombe
Leo kata chupa
Leo kata chupa
Leo kata chupa
Leo kata chupa

Nikishalewa, mimi sitaki kuchezewa
Nakata maji kama mamba
Leo kichaa amekata kamba
Hm, Nikishalewa, mimi sitaki kuchezewa
Nakata maji kama mamba
Leo kichaa amekata kamba




Comments

You may also like these lyrics

00:00 00:00